Jinsi ya Kusoma Sms za WhatsApp Bila Tick za Blu Kuonekana kwa Mtumaji

Habari,  Ndugu mfuatiliaji wa makala mbalimbali za teknologia katika BLOG yetu ya Waitech Solutions. Bila shaka umewahi kumkwepa ...


Habari, 
Ndugu mfuatiliaji wa makala mbalimbali za teknologia katika BLOG yetu ya Waitech Solutions.

Bila shaka umewahi kumkwepa mtu au kugombana na mtu kwa njia ya WhatsApp lakini ungependa kusoma ujumbe aliokuandikia pasipo yeye kujua, au unahitaji kusoma ujumbe uliotumiwa pasipo muhusika kufahamu.

Katika makala hii tutajifunza namna ya kusoma ujumbe uliotumiwa WhatsApp bila “tick za blue kuonekana kwa mtumaji kama ujumbe umesomwa.

Tutaangalia njia mbili tofauti:-

NJIA YA KWANZA: Fuata hatua zifuatazo;-

1. Pindi utakapo pokea meseji ya WhatsApp usiifungue kwanza.

2. Fungua Airplane mode na uweke ON, ambayo itazuia matumizi ya data na meseji nyingine kuingia.


3. Kisha,, fungua WhatsApp yako na usome meseji zako zote ambazo unataka mtumaji asione tick za blue mpaka umalize kufanya yako.

4. Funga whatsApp yako kabisa baada ya hapo nenda na utoe Airplane mode.
Hatakama utakuwa umezisoma meseji hizo lakini tick mbili za blue hazitatokea kwa mtumaji.

5. Unaweza kuwasha data yako na kuendelea na mambo yako mengine.

NJIA YA PILI: Fuata hatua zifuatazo;-

1. Fungua WhatsApp yako,

2.  Nenda sehemu ya setting->account->privacy


3. Shuka chini mpaka kwenye neno “read receipts”  na uondoe alama ya tick.


Njia hizi zitakusaidia kusoma ujumbe wa mtu ambaye huitaji afahamu kuwa umesoma ujumbe wake, lakini pia kama hauhitaji kuchati naye maana wengine hujisikia vibaya  haswa pale wanapokuwa na ushahidi kuwa umesoma meseji zao lakini hauwajibu.


ANGALIZO:
Tumia njia hizi kwa lengo la kujifunza na si vinginenyo, ukitumia kwa lengo baya sisi hatutahusika, kazi yetu ni kukuelimisha.

Endelea kuwa nasi kupitia blog yetu ya Waitech Solutions ili uweze kujifunza mengi yahusuyo teknolojia.

Usisahau ku-like facebook page yetu Waitech Solutions.

COMMENTS

Name

COMPUTER TIPS,8,IT Darasa,1,Makala,1,Maujanja ya Simu,22,Teknolojia,4,
ltr
item
WaiTech IT Solutions: Jinsi ya Kusoma Sms za WhatsApp Bila Tick za Blu Kuonekana kwa Mtumaji
Jinsi ya Kusoma Sms za WhatsApp Bila Tick za Blu Kuonekana kwa Mtumaji
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-S3NtrpPGCEXnlMXOfaKQDHlxgknMGeicUvC-Punb8UUFLldOGrmLn90owUbhLlD46FigcRbW1_pLAUJnzZzZXGyz3VDmQFMoKLuTZHWT_IPIkSszNfuYuK-Y4JYFU7_0uOaJwbeo3Q4/s640/whatsapp-disable-blue-ticks-update.png
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg-S3NtrpPGCEXnlMXOfaKQDHlxgknMGeicUvC-Punb8UUFLldOGrmLn90owUbhLlD46FigcRbW1_pLAUJnzZzZXGyz3VDmQFMoKLuTZHWT_IPIkSszNfuYuK-Y4JYFU7_0uOaJwbeo3Q4/s72-c/whatsapp-disable-blue-ticks-update.png
WaiTech IT Solutions
https://waitechs.blogspot.com/2017/06/jinsi-ya-kusoma-sms-za-whatsapp-bila.html
https://waitechs.blogspot.com/
http://waitechs.blogspot.com/
http://waitechs.blogspot.com/2017/06/jinsi-ya-kusoma-sms-za-whatsapp-bila.html
true
6135567013369675355
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy