JINSI YA KUONDOA PATTERN AU PASSWORD KWENYE SIMU BILA KUFLASH SIMU

Habari, Ndugu mfuatiliaji wa makala mbalimbali za teknologia katika Page yetu na BLOG yetu ya  Waitech Solutions. Miongoni mwa ta...


Habari, Ndugu mfuatiliaji wa makala mbalimbali za teknologia katika Page yetu na BLOG yetu ya Waitech Solutions.

Miongoni mwa tatizo linalowakabiri watumia wengi wa Smartphone ni kusahau Password au Pattern ya simu zao, wengi huzani kwamba njia pekee ya kuiondoa hii ni kuflash simu.

Katika makala hii tutajifunza njia rahisi ya kuondoa Password au Pattern katika simu yako pasipo kuflash simu au kutumia software yoyote.

Kabla hatujaenda mbali ni vyema tukafahamu mambo ya msingi, katika kufanya zoezi hili;-

ANGALIZO:-
1. Kwa kutumia njia hii, Vitu vyako kama nyimbo, picha, video, Apps na data nyingine zilizohifanyiwa kwenye simu VITAFUTIKA maaana simu huanza upya hivyo ni bora ukafahamu hilo mapema.

2. Pindi utakapo iruhusu simu kufanya factory reset, usiingilie aidha kwa kufosi kuiwasha au kuizima, hii inaweza kuua simu yako.

3. Tunashauri kufanya Backup ya vitu vyako mara kwa mara ili kuepuka kutovipoteza hasa pale unaposahau password na kutumia njia hii kuiondoa.

Baada kuangalia mambo ya msingi turudi sasa kwenye somo letu, ili kuweza kuondoa password au pattern kwenye simu yako unapaswa kufuata hatua zifuatazo:-

HATUA:-
1. Zima simu yako toa betri halafu lilirudishe.

2.a)Kama unatumia HUAWEI, VODAFONE AU TECNO bonyeza batani ya kuongezea sauti na ya kuwashia kwa pamoja kwa sekunde 15, kufanya hivyo kutakuletea Recovery menu.


  b)Kama unatumia Samsung bonyeza batani ya kuwashia, kuongezea sauti na    home button kwa sekunde 15, kufanya hivyo kutakuletea Recovery menu.

3. Tumia batani ya kupunguzia sauti na ushuke mpaka kwenye wipe data/factory reset

4. Bonyeza batani ya kuwashia kisha tumia batani ya kupunguzia sauti kushuka mpaka kwenye delete all users data halafu bonyeza batani ya kuwashia.

(kwa baadhi ya simu za TECNO na SONY, Bonyeza batani ya kuongezea sauti kisha tumia batani ya kupunguzia sauti kushuka mpaka kwenye delete all users data halafu bonyeza batani ya kuongezea sauti).

5. Iache kwa muda kisha utaona neno Reboot now liko highlighted bonyeza batani ya kuwashia kisha iache izime na iwake.

(kwa baadhi ya simu zitakuomba ukubali kufuta bonyeza batani ya kuwashia kisha utaona neno Reboot now liko highlighted bonyeza batani ya kuwashia kisha iache izime na iwake).

kwa baadhi ya simu utatumia batani ya kuongezea sauti badala ya batani ya kuwashia.

6. Mpaka hapo utakuwa umefanikisha kuondoa pattern bila ya kuflash simu yako.

Natumaini hadi kufikia hapo, utakuwa na uelewa mzuri kuhusu namna ya kuondoa Password au Pattern kwenye simu yako, endelea kuwa nasi kupitia blog yetu ya Waitech Solutions ili uweze kujifunza mengi yahusuyo teknolojia.

Usisahau ku-like Facebook Page yetu Waitech Solutions., unaweza ku-share na wengine makala hii.

COMMENTS

BLOGGER: 1
Loading...
Name

COMPUTER TIPS,8,IT Darasa,1,Makala,1,Maujanja ya Simu,22,Teknolojia,4,
ltr
item
WaiTech IT Solutions: JINSI YA KUONDOA PATTERN AU PASSWORD KWENYE SIMU BILA KUFLASH SIMU
JINSI YA KUONDOA PATTERN AU PASSWORD KWENYE SIMU BILA KUFLASH SIMU
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgowGNrNAtTJf80_iItxaZRQDo-s0k9RziEkYOgwM7EJfbrhLSke2kzYx329VpaNrcrBHY8wYP5W534A1kSTSZ0XDzY-lmUGXI7zXCi7dzpPMTVgQ1C4NjHlJUc7KkCrraI7xUCgJSuvjU/s640/maxresdefault+%25281%2529.jpg
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgowGNrNAtTJf80_iItxaZRQDo-s0k9RziEkYOgwM7EJfbrhLSke2kzYx329VpaNrcrBHY8wYP5W534A1kSTSZ0XDzY-lmUGXI7zXCi7dzpPMTVgQ1C4NjHlJUc7KkCrraI7xUCgJSuvjU/s72-c/maxresdefault+%25281%2529.jpg
WaiTech IT Solutions
https://waitechs.blogspot.com/2017/06/jinsi-ya-kuondoa-pattern-au-password.html
https://waitechs.blogspot.com/
http://waitechs.blogspot.com/
http://waitechs.blogspot.com/2017/06/jinsi-ya-kuondoa-pattern-au-password.html
true
6135567013369675355
UTF-8
Loaded All Posts Not found any posts VIEW ALL Readmore Reply Cancel reply Delete By Home PAGES POSTS View All RECOMMENDED FOR YOU LABEL ARCHIVE SEARCH ALL POSTS Not found any post match with your request Back Home Sunday Monday Tuesday Wednesday Thursday Friday Saturday Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat January February March April May June July August September October November December Jan Feb Mar Apr May Jun Jul Aug Sep Oct Nov Dec just now 1 minute ago $$1$$ minutes ago 1 hour ago $$1$$ hours ago Yesterday $$1$$ days ago $$1$$ weeks ago more than 5 weeks ago Followers Follow THIS CONTENT IS PREMIUM Please share to unlock Copy All Code Select All Code All codes were copied to your clipboard Can not copy the codes / texts, please press [CTRL]+[C] (or CMD+C with Mac) to copy